Mon 06 Mar, 2017 23:29:09 EAT
820 Views |
10 Comments |
84 Likes
Anapocheza lelema
Ananifanya nileuke mwishowe naleleja
Umbo lake mviringo
Kiuno chake lembelembe
Hayo yote yanichanganya
Msimamo wangu huwa thabiti
Na tayari umegeuzwa kuwa legelege
Sio eti Mimi mlevi
Ila mwenzenu amerogwa na penzi.
Nina kanionya kumhusu,
Lakini naona nikikaidi.
Maana mtoto yule kaiva,
Rangi yake rajamu.
Rasilimali kwangu rasimu
Japo ramli ninayo
Ila si mwitaji rasuli
Ndipo ndoa yetu raufu
Heri niwe mtumwa
Na.nikubali utobwe
Na nihepe shadidi,
Maana upweke waeza niua,
Heri nifuate penyo.
Licha ya kuwa upeo.
Maana upatanisho ni ahera.
Prev : Curved Destiny Next : Price Of Freedom
Sharing is Caring